-
Kumbukumbu la Torati 7:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 msiwaogope.+ Mnapaswa kujikumbusha mambo ambayo Yehova Mungu wenu alimtendea Farao na nchi yote ya Misri,+ 19 zile hukumu kubwa* ambazo mliona kwa macho yenu na ishara na miujiza+ na mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa ambao Yehova Mungu wenu aliutumia kuwatoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wenu atakavyoyatendea mataifa yote mnayoyaogopa.+
-