30 Lakini baada ya miaka hiyo, hakika kutakuwa na miaka saba ya njaa kali, nanyi hakika mtasahau chakula kingi sana kilichokuwa katika nchi ya Misri, na njaa hiyo kali itaiharibu nchi.+
54 na miaka saba ya njaa kali ikaanza, kama Yosefu alivyokuwa amesema.+ Njaa hiyo ilienea katika nchi zote, lakini kulikuwa na chakula* katika nchi yote ya Misri.+
5 Kwa hiyo wana wa Israeli wakafika Misri pamoja na watu wengine walioenda kununua nafaka, kwa sababu njaa hiyo kali ilikuwa imeenea mpaka katika nchi ya Kanaani.+