2 Samweli 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Isitoshe, Absalomu alipotoa dhabihu, aliwatuma watu wamwite Ahithofeli+ Mgiloni, mshauri wa Daudi,+ kutoka jiji la Gilo.+ Njama iliendelea kupamba moto, na idadi ya watu waliomuunga mkono Absalomu ikaendelea kuongezeka.+ 2 Samweli 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo, Absalomu na wanaume wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, na Ahithofeli+ alikuwa pamoja naye.
12 Isitoshe, Absalomu alipotoa dhabihu, aliwatuma watu wamwite Ahithofeli+ Mgiloni, mshauri wa Daudi,+ kutoka jiji la Gilo.+ Njama iliendelea kupamba moto, na idadi ya watu waliomuunga mkono Absalomu ikaendelea kuongezeka.+
15 Wakati huo, Absalomu na wanaume wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, na Ahithofeli+ alikuwa pamoja naye.