22 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake kuelekea mbinguni, na giza zito sana likaifunika nchi yote ya Misri kwa siku tatu.+ 23 Hawakuonana, na kwa siku tatu hakuna yeyote kati yao aliyeondoka mahali alipokuwa; lakini Waisraeli wote walikuwa na mwangaza katika makao yao.+