Zaburi 31:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova na asifiwe,Kwa maana kwa njia yenye kustaajabisha, amenionyesha upendo wake mshikamanifu+ katika jiji lililozingirwa.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+
21 Yehova na asifiwe,Kwa maana kwa njia yenye kustaajabisha, amenionyesha upendo wake mshikamanifu+ katika jiji lililozingirwa.+