6 Tazama! Nitakuwa nimesimama mbele yako kwenye mwamba huko Horebu. Unapaswa kuupiga mwamba huo, na maji yatatoka ndani yake, kisha watu watayanywa.”+ Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.
4 na wote walikunywa maji yaleyale ya kiroho.+ Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba wa kiroho uliowafuata, na mwamba huo ulimaanisha* Kristo.+