Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

  • Ezra 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakaanza kuimba kwa kuitikia+ wakimsifu na kumshukuru Yehova “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu kwa Israeli unadumu milele.”+ Kisha watu wote wakapaza sauti wakimsifu Yehova kwa sababu msingi wa nyumba ya Yehova ulikuwa umewekwa.

  • Zaburi 103:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini upendo mshikamanifu wa Yehova ni wa milele na milele*

      Kuelekea wale wanaomwogopa,+

      Na uadilifu wake kuelekea watoto wa watoto wao,+

  • Zaburi 107:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 107 Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki