Ruthu 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova na akuthawabishe kwa yale uliyofanya,+ na upate malipo* kamili kutoka kwa Yehova Mungu wa Israeli, ambaye umekuja kutafuta kimbilio chini ya mabawa yake.”+ Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+ Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Nionyeshe kibali, Ee Mungu, nionyeshe kibali,Kwa maana ninakukimbilia,+Ninakimbilia kivuli cha mabawa yako mpaka matatizo haya yapite.+
12 Yehova na akuthawabishe kwa yale uliyofanya,+ na upate malipo* kamili kutoka kwa Yehova Mungu wa Israeli, ambaye umekuja kutafuta kimbilio chini ya mabawa yake.”+
7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+
57 Nionyeshe kibali, Ee Mungu, nionyeshe kibali,Kwa maana ninakukimbilia,+Ninakimbilia kivuli cha mabawa yako mpaka matatizo haya yapite.+