Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo watu wote waliokuwa katika lango la jiji na wale wazee wakasema: “Sisi ni mashahidi! Yehova na ambariki mke anayekuja nyumbani mwako ili awe kama Raheli na Lea, ambao walijenga nyumba ya Israeli.+ Ufanikiwe katika Efratha+ na ujijengee jina zuri* katika Bethlehemu.+

  • Ruthu 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha wanawake majirani wakampa jina. Wakasema, “Naomi amezaa mwana,” nao wakamwita Obedi.+ Yeye ndiye baba ya Yese,+ aliyemzaa Daudi.

  • Mathayo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+

      Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+

      Obedi akawa baba ya Yese;+

  • Mathayo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yakobo akawa baba ya Yosefu mume wa Maria, aliyemzaa Yesu,+ aitwaye Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki