Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa maana Yehova anasema hivi: “Hamtaona upepo, wala hamtaona mvua; hata hivyo bonde* hili litajaa maji,+ nanyi mtakunywa maji yake, ninyi, ng’ombe wenu, na wanyama wenu wengine.”’

  • Isaya 35:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Na ardhi iliyokaushwa na joto itakuwa kama dimbwi lenye matete,

      Na ardhi yenye kiu itakuwa kama mabubujiko ya maji.+

      Katika makao ambamo mbwamwitu walipumzika,+

      Kutakuwa na majani mabichi na matete na mafunjo.

  • Isaya 41:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nitafanya mito itiririke kwenye vilima visivyo na kitu+

      Na chemchemi katika mabonde tambarare.+

      Nitaigeuza nyika kuwa dimbwi la maji lenye matete

      Na nchi isiyo na maji kuwa chemchemi za maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki