Kutoka 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini hakuna hata mbwa atakayewabwekea* Waisraeli, iwe ni wanadamu au mifugo yao, ili mjue kwamba mimi Yehova ninaweza kutofautisha kati ya Wamisri na Waisraeli.’+ Zaburi 63:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini mfalme atashangilia kwa sababu ya Mungu. Kila mtu anayeapa katika jina la Mungu atashangilia,*Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitanyamazishwa.
7 Lakini hakuna hata mbwa atakayewabwekea* Waisraeli, iwe ni wanadamu au mifugo yao, ili mjue kwamba mimi Yehova ninaweza kutofautisha kati ya Wamisri na Waisraeli.’+
11 Lakini mfalme atashangilia kwa sababu ya Mungu. Kila mtu anayeapa katika jina la Mungu atashangilia,*Kwa maana kinywa cha wale wanaosema uwongo kitanyamazishwa.