3 tazama! mkono wangu mimi Yehova+ utaipiga mifugo yenu iliyo shambani. Nitawaletea pigo kali sana farasi, punda, ngamia, ng’ombe, na makundi yenu.+ 4 Na hakika mimi Yehova nitaitofautisha mifugo ya Waisraeli na mifugo ya Wamisri, na hakuna mnyama yeyote wa Waisraeli atakayekufa.”’”+