22 Siku hiyo, hakika nitaitenga nchi ya Gosheni, wanakoishi watu wangu. Hakuna nzi yeyote atakayepatikana huko,+ na kwa jambo hilo utajua kwamba mimi, Yehova, niko humu nchini.+
7 Lakini hakuna hata mbwa atakayewabwekea* Waisraeli, iwe ni wanadamu au mifugo yao, ili mjue kwamba mimi Yehova ninaweza kutofautisha kati ya Wamisri na Waisraeli.’+