Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe. Mathayo 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni. Kisha akaenda zake akajinyonga.+
23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe.