2 Samweli 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sasa palikuwa na mfanya fujo fulani aliyeitwa Sheba,+ mwana wa Bikri, Mbenjamini. Alipiga pembe+ na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi, na hatuna urithi wowote katika mwana wa Yese.+ Enyi Waisraeli, kila mtu aende kwa miungu* yake!”+ 2 Samweli 22:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mawimbi ya kifo yalinizunguka pande zote;+Mafuriko ya ghafla ya wanaume wasiofaa kitu yaliniogopesha.+ 6 Kamba za Kaburi* zilinizunguka;+Mitego ya kifo ilinikabili.+ Zaburi 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+
20 Sasa palikuwa na mfanya fujo fulani aliyeitwa Sheba,+ mwana wa Bikri, Mbenjamini. Alipiga pembe+ na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi, na hatuna urithi wowote katika mwana wa Yese.+ Enyi Waisraeli, kila mtu aende kwa miungu* yake!”+
5 Mawimbi ya kifo yalinizunguka pande zote;+Mafuriko ya ghafla ya wanaume wasiofaa kitu yaliniogopesha.+ 6 Kamba za Kaburi* zilinizunguka;+Mitego ya kifo ilinikabili.+
16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+