26 Ehudi akatoroka walipokuwa wanangoja, naye akapita karibu na sanamu za mawe,+ akafika salama salimini kule Seira. 27 Alipofika huko, akapiga pembe+ katika eneo lenye milima la Efraimu;+ na Waisraeli wakashuka pamoja naye kutoka milimani, yeye akiwa mbele yao.