Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadaye Daudi akamuuliza hivi Yehova:+ “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya majiji ya Yuda?” Yehova akamwambia: “Panda uende.” Kisha Daudi akamuuliza: “Niende wapi?” Akajibu: “Hebroni.”+

  • 2 Samweli 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baada ya muda makabila yote ya Israeli yakaja kwa Daudi huko Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.*+

  • 2 Samweli 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka 7 na miezi 6, na huko Yerusalemu+ alitawala Israeli yote na Yuda kwa miaka 33.

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Aliwazaa wana hao sita kule Hebroni; alitawala huko kwa miaka 7 na miezi 6, naye alitawala kule Yerusalemu kwa miaka 33.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki