2 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+
2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+