2Baadaye Daudi akamuuliza hivi Yehova:+ “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya majiji ya Yuda?” Yehova akamwambia: “Panda uende.” Kisha Daudi akamuuliza: “Niende wapi?” Akajibu: “Hebroni.”+
23 Hii ndiyo idadi ya viongozi wa wale waliojihami kwa ajili ya vita ambao walijiunga na Daudi kule Hebroni+ ili kumpa utawala wa Sauli kulingana na agizo la Yehova.+