Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Sara akafa huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni,+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaanza kumwombolezea Sara na kumlilia.

  • Hesabu 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipopanda na kuingia Negebu, walifika Hebroni,+ ambako Ahimani, Sheshai, na Talmai,+ wazao wa Anaki+ waliishi. Sasa, Jiji la Hebroni lilijengwa miaka saba kabla ya jiji la Soani lililoko Misri.

  • Yoshua 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndiyo sababu Hebroni limekuwa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi mpaka leo, kwa sababu alimfuata Yehova Mungu wa Israeli kwa moyo wote.+

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • 2 Samweli 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baada ya muda makabila yote ya Israeli yakaja kwa Daudi huko Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.*+

  • 1 Wafalme 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Daudi alitawala Israeli kwa miaka 40. Alitawala Hebroni+ kwa miaka 7, na Yerusalemu kwa miaka 33.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki