Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+ Mathayo 27:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Na wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana,+ huku wakitikisa vichwa vyao+