Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+ Zaburi 109:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nimekuwa kitu cha kudhihakiwa nao.+ Wanaponiona, wanatikisa vichwa vyao.+