Mhubiri 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana mwanadamu hajui wakati wake.+ Kama samaki wanavyonaswa na wavu mwovu na ndege wanavyonaswa na mtego, ndivyo wanadamu wanavyonaswa wakati wa msiba, unapowapata kwa ghafla.
12 Kwa maana mwanadamu hajui wakati wake.+ Kama samaki wanavyonaswa na wavu mwovu na ndege wanavyonaswa na mtego, ndivyo wanadamu wanavyonaswa wakati wa msiba, unapowapata kwa ghafla.