Mhubiri 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana mwanadamu+ pia hajui wakati wake.+ Kama vile samaki wanaonaswa katika wavu mbovu,+ na kama ndege wanaonaswa katika mtego,+ ndivyo wana wa binadamu wenyewe wanavyonaswa wakati wenye msiba,+ unapowaangukia ghafula.+ Mhubiri Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:12 w05 11/1 3-4 Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:12 The Watchtower,11/1/2005, kur. 3-4
12 Kwa maana mwanadamu+ pia hajui wakati wake.+ Kama vile samaki wanaonaswa katika wavu mbovu,+ na kama ndege wanaonaswa katika mtego,+ ndivyo wana wa binadamu wenyewe wanavyonaswa wakati wenye msiba,+ unapowaangukia ghafula.+