Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mungu anaogopwa katika baraza* la watakatifu;+

      Yeye ni mtukufu na mwenye kuogopesha kwa wote wanaomzunguka.+

  • Isaya 6:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Maserafi walikuwa wamesimama juu yake; kila mmoja wao alikuwa na mabawa sita. Kila mmoja aliufunika uso wake kwa mabawa mawili na alifunika miguu yake kwa mawili, na kila mmoja wao aliruka huku na huku kwa mawili.

       3 Na kila mmoja alimwambia mwenzake:

      “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+

      Dunia yote imejaa utukufu wake.”

  • Luka 1:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 kwa sababu Mwenye nguvu amenitendea mambo makuu, nalo jina lake ni takatifu,+

  • Ufunuo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kuhusu wale viumbe hai wanne, kila mmoja wao alikuwa na mabawa sita; walikuwa na macho kila mahali pande zote na chini yao.+ Na mchana na usiku wanaendelea kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova*+ Mungu, Mweza-Yote, aliyekuwako na aliyeko na anayekuja.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki