Zaburi 25:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+ Zaburi 37:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka.
12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+
25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ 26 Sikuzote anakopesha bila faida,+Na watoto wake watapata baraka.