Kumbukumbu la Torati 33:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+ Ni nani aliye kama wewe,+Taifa linalofurahia wokovu wa Yehova,+Ngao yenu inayowalinda+Na upanga wenu wenye fahari? Maadui wenu watajikunyata mbele yenu,+Nanyi mtawakanyaga migongoni.”* Zaburi 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tunamtarajia Yehova. Yeye ni msaidizi wetu na ngao yetu.+
29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+ Ni nani aliye kama wewe,+Taifa linalofurahia wokovu wa Yehova,+Ngao yenu inayowalinda+Na upanga wenu wenye fahari? Maadui wenu watajikunyata mbele yenu,+Nanyi mtawakanyaga migongoni.”*