Zaburi 40:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni mtu anayemtumaini YehovaNa ambaye hawatumaini wakaidi au watu wadanganyifu.* Zaburi 146:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msiwatumaini wakuu*Wala mwanadamu, ambaye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+ Yeremia 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.
3 Msiwatumaini wakuu*Wala mwanadamu, ambaye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+
5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.