Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 62:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wanadamu ni pumzi tu,

      Wana wa binadamu ni njozi ya uwongo.+

      Wanapowekwa pamoja kwenye mizani, ni wepesi kuliko pumzi.+

  • Zaburi 118:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni bora kumkimbilia Yehova

      Kuliko kuwatumaini wanadamu.+

       9 Ni bora kumkimbilia Yehova

      Kuliko kuwatumaini wakuu.+

  • Isaya 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa faida yenu wenyewe, acheni kumtumaini mwanadamu,

      Ambaye ni pumzi tu iliyo katika mianzi ya pua yake.*

      Kwa nini afikiriwe?

  • Yeremia 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova anasema hivi:

      “Amelaaniwa mtu* anayewatumaini wanadamu,+

      Anayetegemea nguvu za wanadamu,*+

      Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki