6 Ndipo wakaaji wote wa Misri watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,
Kwa sababu kwa watu wa nyumba ya Israeli walikuwa kama unyasi tu, hawakuwategemeza.+
7 Walipokushika mkono, ulipondwa,
Nawe ukafanya wavunjike bega.
Walipojitegemeza kwako, ulivunjika,
Nawe ukafanya miguu yao ipepesuke.”+