-
Yeremia 37:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Sasa jeshi la Farao lilikuwa limeondoka Misri,+ na Wakaldayo waliokuwa wakizingira Yerusalemu wakasikia habari kulihusu. Basi wakaondoka Yerusalemu.+ 6 Kisha neno la Yehova likamjia nabii Yeremia likisema: 7 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mnapaswa kumwambia hivi mfalme wa Yuda, aliyewatuma kwangu kutafuta habari: “Tazama! Jeshi la Farao linalokuja kuwasaidia litalazimika kurudi nchini kwao, Misri.+
-