4 Hata hivyo, mfalme wa Ashuru alipata habari kwamba Hoshea alishiriki kupanga njama fulani, kwa maana alikuwa amewatuma wajumbe kwa Mfalme So wa Misri+ na hakuleta ushuru kwa mfalme wa Ashuru kama alivyofanya miaka iliyotangulia. Kwa hiyo, mfalme wa Ashuru akamfunga na kumtia gerezani.
7 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mnapaswa kumwambia hivi mfalme wa Yuda, aliyewatuma kwangu kutafuta habari: “Tazama! Jeshi la Farao linalokuja kuwasaidia litalazimika kurudi nchini kwao, Misri.+