Isaya 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova. Ezekieli 29:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo wakaaji wote wa Misri watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova, Kwa sababu kwa watu wa nyumba ya Israeli walikuwa kama unyasi* tu, hawakuwategemeza.+
31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova.
6 Ndipo wakaaji wote wa Misri watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova, Kwa sababu kwa watu wa nyumba ya Israeli walikuwa kama unyasi* tu, hawakuwategemeza.+