Zaburi 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana waliokufa hawakutaji;*Katika kaburi,* ni nani atakayekusifu?+ Zaburi 71:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Mungu, umenifundisha tangu nilipokuwa kijana,+Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako zinazostaajabisha.+
17 Ee Mungu, umenifundisha tangu nilipokuwa kijana,+Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako zinazostaajabisha.+