Marko 12:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, hamkusoma kamwe andiko hili: ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ 11 Hili limetoka kwa Yehova,* na ni lenye kustaajabisha machoni petu’?”+
10 Je, hamkusoma kamwe andiko hili: ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ 11 Hili limetoka kwa Yehova,* na ni lenye kustaajabisha machoni petu’?”+