Zaburi 118:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataaLimekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ 23 Hili limetoka kwa Yehova;+Linastaajabisha machoni petu.+
22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataaLimekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ 23 Hili limetoka kwa Yehova;+Linastaajabisha machoni petu.+