Mambo ya Walawi 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya 15 ya mwezi huo wa saba mtamfanyia Yehova Sherehe ya Vibanda* kwa siku saba.+ Zaburi 42:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninayakumbuka mambo haya, nami naimwaga nafsi* yangu,Kwa maana wakati fulani nilitembea pamoja na umati;Nilikuwa nikitembea kimyakimya* mbele zao kwenda katika nyumba ya Mungu,Kwa sauti za shangwe na shukrani,Za umati unaofanya sherehe.+
34 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya 15 ya mwezi huo wa saba mtamfanyia Yehova Sherehe ya Vibanda* kwa siku saba.+
4 Ninayakumbuka mambo haya, nami naimwaga nafsi* yangu,Kwa maana wakati fulani nilitembea pamoja na umati;Nilikuwa nikitembea kimyakimya* mbele zao kwenda katika nyumba ya Mungu,Kwa sauti za shangwe na shukrani,Za umati unaofanya sherehe.+