Zaburi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na unizuie mimi mtumishi wako nisitende matendo ya kimbelembele;+Usiruhusu yanitawale.+ Ndipo nitakapokuwa kamili,+Na sitakuwa na hatia ya dhambi zilizo wazi.* Zaburi 37:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;+Hatua zake hazitayumbayumba.+
13 Na unizuie mimi mtumishi wako nisitende matendo ya kimbelembele;+Usiruhusu yanitawale.+ Ndipo nitakapokuwa kamili,+Na sitakuwa na hatia ya dhambi zilizo wazi.*