Yeremia 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+Na neno lako likawa furaha na shangwe ya moyo wangu,Kwa maana nimeitwa kwa jina lako, Ee Yehova Mungu wa majeshi.
16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+Na neno lako likawa furaha na shangwe ya moyo wangu,Kwa maana nimeitwa kwa jina lako, Ee Yehova Mungu wa majeshi.