-
Waebrania 12:9-11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wakitutia nidhamu, nasi tuliwapa heshima. Je, hatupaswi kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+ 10 Kwa maana walitutia nidhamu kwa muda mfupi kulingana na jinsi walivyoona kuwa inafaa, lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+ 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.
-