Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa, Yehova*+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe pamoja na ulimwengu.+

  • Waebrania 12:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wakitutia nidhamu, nasi tuliwapa heshima. Je, hatupaswi kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+ 10 Kwa maana walitutia nidhamu kwa muda mfupi kulingana na jinsi walivyoona kuwa inafaa, lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+ 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki