Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+

      Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Zaburi 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,

      Kuliko dhahabu nyingi bora,*+

      Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.

  • Methali 3:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+

      Na mtu anayepata utambuzi;

      14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,

      Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+

      15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*

      Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki