Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega. Methali 3:13-15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi;14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+ 15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.
13 Mwenye furaha ni mtu anayepata hekima+Na mtu anayepata utambuzi;14 Kupata hekima ni bora kuliko kupata fedha,Na kuipata kama faida ni bora kuliko kupata dhahabu.+ 15 Ni yenye thamani kuliko marijani;*Hakuna chochote unachotamani kinachoweza kulinganishwa nayo.