Zaburi 119:103 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Jinsi maneno yako yalivyo matamu kwenye kaakaa langu,Kuliko asali kinywani mwangu!+ Methali 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Maneno yanayopendeza ni sega la asali,Ni matamu kwa nafsi* nayo huponya mifupa.+