Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+

      Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Zaburi 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,

      Kuliko dhahabu nyingi bora,*+

      Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.

  • Methali 24:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwanangu, kula asali, kwa sababu ni njema;

      Asali ya sega ni tamu kinywani.

      14 Vivyo hivyo, jua kwamba hekima ina manufaa kwako.*+

      Ukiipata, utakuwa na wakati ujao

      Na tumaini lako halitafutiliwa mbali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki