Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega. Methali 24:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwanangu, kula asali, kwa sababu ni njema;Asali ya sega ni tamu kinywani. 14 Vivyo hivyo, jua kwamba hekima ina manufaa kwako.*+ Ukiipata, utakuwa na wakati ujaoNa tumaini lako halitafutiliwa mbali.+
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.
13 Mwanangu, kula asali, kwa sababu ni njema;Asali ya sega ni tamu kinywani. 14 Vivyo hivyo, jua kwamba hekima ina manufaa kwako.*+ Ukiipata, utakuwa na wakati ujaoNa tumaini lako halitafutiliwa mbali.+