Zaburi 19:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+ 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega. Zaburi 119:103 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Jinsi maneno yako yalivyo matamu kwenye kaakaa langu,Kuliko asali kinywani mwangu!+
9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+ 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.