Zaburi 119:137 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 137 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+Na hukumu zako ni za haki.+ Zaburi 119:160 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 160 Kiini hasa cha neno lako ni kweli,+Na hukumu zako zote za uadilifu zinadumu milele. Ufunuo 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nikasikia madhabahu ikisema: “Ndiyo, Yehova* Mungu, Mweza-Yote,+ hukumu zako* ni za kweli na za uadilifu.”+
7 Nikasikia madhabahu ikisema: “Ndiyo, Yehova* Mungu, Mweza-Yote,+ hukumu zako* ni za kweli na za uadilifu.”+