Ufunuo 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nikamsikia malaika aliye juu ya maji akisema: “Wewe, Ambaye uko na uliyekuwako,+ Mshikamanifu,+ wewe ni mwadilifu, kwa kuwa umetoa hukumu hizi,+ Ufunuo 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nikasikia madhabahu ikisema: “Ndiyo, Yehova* Mungu, Mweza-Yote,+ hukumu zako* ni za kweli na za uadilifu.”+
5 Nikamsikia malaika aliye juu ya maji akisema: “Wewe, Ambaye uko na uliyekuwako,+ Mshikamanifu,+ wewe ni mwadilifu, kwa kuwa umetoa hukumu hizi,+
7 Nikasikia madhabahu ikisema: “Ndiyo, Yehova* Mungu, Mweza-Yote,+ hukumu zako* ni za kweli na za uadilifu.”+