2 Samweli 7:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli, na maneno yako ni kweli,+ nawe umeniahidi mimi mtumishi wako mambo hayo mema. Zaburi 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba. Yohana 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watakase* kupitia ile kweli;+ neno lako ni kweli.+
28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli, na maneno yako ni kweli,+ nawe umeniahidi mimi mtumishi wako mambo hayo mema.
6 Maneno ya Yehova ni safi;+Ni kama fedha iliyosafishwa katika tanuru la udongo,* iliyosafishwa mara saba.