Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+

      Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+

  • Zaburi 103:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,

      Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+

  • Zaburi 119:116
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 116 Nitegemeze kama ulivyoahidi,*+

      Ili niendelee kuishi;

      Usiache tumaini langu libadilike na kunikatisha tamaa.*+

  • Danieli 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tega sikio lako, Ee Mungu wangu, usikie! Fungua macho yako uone hali yetu ya ukiwa na jiji ambalo limeitwa kwa jina lako; kwa maana hatukuombi kwa sababu ya matendo yetu ya uadilifu bali kwa sababu ya rehema yako kuu.+

  • Luka 1:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 naye huwaonyesha rehema wale wanaomwogopa, kizazi baada ya kizazi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki