Zaburi 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+ Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+ Zaburi 103:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+ Zaburi 119:116 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 116 Nitegemeze kama ulivyoahidi,*+Ili niendelee kuishi;Usiache tumaini langu libadilike na kunikatisha tamaa.*+ Danieli 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tega sikio lako, Ee Mungu wangu, usikie! Fungua macho yako uone hali yetu ya ukiwa na jiji ambalo limeitwa kwa jina lako; kwa maana hatukuombi kwa sababu ya matendo yetu ya uadilifu bali kwa sababu ya rehema yako kuu.+ Luka 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 naye huwaonyesha rehema wale wanaomwogopa, kizazi baada ya kizazi.+
51 Ee Mungu, nionyeshe kibali kulingana na upendo wako mshikamanifu.+ Yafute kabisa makosa yangu kulingana na rehema zako nyingi.+
13 Kama baba anavyowaonyesha wanawe rehema,Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+
116 Nitegemeze kama ulivyoahidi,*+Ili niendelee kuishi;Usiache tumaini langu libadilike na kunikatisha tamaa.*+
18 Tega sikio lako, Ee Mungu wangu, usikie! Fungua macho yako uone hali yetu ya ukiwa na jiji ambalo limeitwa kwa jina lako; kwa maana hatukuombi kwa sababu ya matendo yetu ya uadilifu bali kwa sababu ya rehema yako kuu.+