Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+Na sheria ni nuru,+Na makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima.+ Mathayo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini akajibu: “Imeandikwa: ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’”*+
4 Lakini akajibu: “Imeandikwa: ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’”*+