Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani kuwa dhabihu yake ananitukuza,+Na yule anayefuata njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Hosea 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.* Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+
23 Yule anayetoa shukrani kuwa dhabihu yake ananitukuza,+Na yule anayefuata njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+
2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.*
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+